tatizo sio mgeni au mzawa,inatakiwa taaluma umesoma kabisa,sio ukocha wa blah blah au sijui kacheza mpira,hapana,ukocha unaingia darasani unasomea mchezo na kuubadilisha,kusuka timu,kuitengeneza,kuwajenga pamoja kisaikolojia nk,sio kazi rahisi tunavyodhani,sasa hapo ndio tuangalie makocha wenye sifa japo sio sawa kama wenger,ferguson,mourinho,ancellotti,hiddink,van gaal,ottmar hitzfeld,vicente del basque,bert van marwijk,marcelo lippi,trappattoni nk,wanazo sifa hizo,kupitia rekodi zao hasa hasa kimataifa.