Ni ligi ya 'klabu bwenyenye' - elewa ni kwa nini uefa na fifa zinapinga super league

Ni ligi ya 'klabu bwenyenye' - elewa ni kwa nini uefa na fifa zinapinga super league

Ikaria

Member
Joined
Jul 17, 2019
Posts
93
Reaction score
238
Wadau mbalimbali wa mpira wa miguu barani Ulaya wanazidi kupinga kuanzishwa kwa Super League.

FIFA na UEFA zimekosoa vilabu vyote 12 kwa kuweka maslahi ya pesa mbele kuliko mpira na heshima ya mashabiki.
 
Back
Top Bottom