Ni lini CCM itainunua Clouds Media Group kuwa Chombo chake cha Propaganda au ni lini Clouds Media Group itakuwa Msaidizi wa TBC1 na Taifa?

Ni lini CCM itainunua Clouds Media Group kuwa Chombo chake cha Propaganda au ni lini Clouds Media Group itakuwa Msaidizi wa TBC1 na Taifa?

Najua Wahusika muhimu wa Chama na Serikali wapo sana hapa Jamvini JamiForums hivyo Mzukulu nitapata Mrejesho wangu hasa niridhike.
Sio kosa la Clouds Media kupenda vitu vizuri, which CCM is one of them.
 
Sio kosa la Clouds Media kupenda vitu vizuri, which CCM is one of them.

Hivi unajua Athari za Kupoteza Potential Audiences wengi ambazo Clouds Media Group imezipata kwa Kutumika na Kujipendekeza Kwao huko?
 
Hivi unajua Athari za Kupoteza Potential Audiences wengi ambazo Clouds Media Group imezipata kwa Kutumika na Kujipendekeza Kwao huko?
Hii takwimu umeikusanyaje? Hii ya ku-lose audiences.


#No research no right to speak
 
Hii takwimu umeikusanyaje? Hii ya ku-lose audiences.


#No research no right to speak

Comments mbalimbali tu za Great Thinkers wa hapa Mtandaoni zinatosha Kuanza Kukupa majibu ya Hoja yangu ila kwa Uutopolo wako huelewi.
 
Comments mbalimbali tu za Great Thinkers wa hapa Mtandaoni zinatosha Kuanza Kukupa majibu ya Hoja yangu ila kwa Uutopolo wako huelewi.
Na wewe ni among those "great thinkers?"


[emoji23][emoji23][emoji23]kwahiyo umetoa conclusion kuwa "Clouds wanapoteza audiences" from your mini research ya comments za hapa JF kwa hao so called "great thinkers"??

Mkuu.. Rudi ulipotoka.
Kama unataka kuwaambia watu statement kubwa kama "Clouds wanapoteza audiences kwasababu ya kuisupport CCM (as you say) basi do just one thing.
Uje na takwimu zenye msingi.

#No research no right to speak

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
 
Na wewe ni among those "great thinkers?"


[emoji23][emoji23][emoji23]kwahiyo umetoa conclusion kuwa "Clouds wanapoteza audiences" from your mini research ya comments za hapa JF kwa hao so called "great thinkers"??

Mkuu.. Rudi ulipotoka.
Kama unataka kuwaambia watu statement kubwa kama "Clouds wanapoteza audiences kwasababu ya kuisupport CCM (as you say) basi do just one thing.
Uje na takwimu zenye msingi.

#No research no right to speak

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
😂😂😂 Case closed
 
Na wewe ni among those "great thinkers?"


[emoji23][emoji23][emoji23]kwahiyo umetoa conclusion kuwa "Clouds wanapoteza audiences" from your mini research ya comments za hapa JF kwa hao so called "great thinkers"??

Mkuu.. Rudi ulipotoka.
Kama unataka kuwaambia watu statement kubwa kama "Clouds wanapoteza audiences kwasababu ya kuisupport CCM (as you say) basi do just one thing.
Uje na takwimu zenye msingi.

#No research no right to speak

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app

Wewe Utopolo hebu acha Kunipotezea muda wangu tafadhali.
 
Hivi unajua Athari za Kupoteza Potential Audiences wengi ambazo Clouds Media Group imezipata kwa Kutumika na Kujipendekeza Kwao huko?
Ingekuwa hivyo basi ingewapoteza zamani sana maana clouds haijaanza kuwa hivi leo, toka enzi za Kikwete walikuwa karibu na CCM, chaguzi waliandaa wasanii kuipigia kampeni CCM. Kipi kipya mpaka kiwafanye wapoteze mashabiki kisa siasa?
 
Unajua kuandika vizuri vichwa vya mada ila unakosa hoja ya kuweka jamvini

Mbona hata Wewe anayekukaza anajua mno Kuuchomeka lakini hajui Kukukuna ipasavyo hadi sasa unaanza tu Kuwashobokea na Watu wengine?
 
Najua Wahusika muhimu wa Chama na Serikali wapo sana hapa Jamvini JamiForums hivyo Mzukulu nitapata Mrejesho wangu hasa na niridhike.
Sikumbuki Mara ya mwisho kusikiliza Redio ni lini? Maana watangazaji wamegeuka kuwa wakina Polepole
 
Na wewe ni among those "great thinkers?"


[emoji23][emoji23][emoji23]kwahiyo umetoa conclusion kuwa "Clouds wanapoteza audiences" from your mini research ya comments za hapa JF kwa hao so called "great thinkers"??

Mkuu.. Rudi ulipotoka.
Kama unataka kuwaambia watu statement kubwa kama "Clouds wanapoteza audiences kwasababu ya kuisupport CCM (as you say) basi do just one thing.
Uje na takwimu zenye msingi.

#No research no right to speak

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
Hata Mimi nashangaa
 
Back
Top Bottom