Pre GE2025 Ni lini Freeman Mbowe alisema atagombea uenyekiti wa CHADEMA Taifa mwaka 2024?

Pre GE2025 Ni lini Freeman Mbowe alisema atagombea uenyekiti wa CHADEMA Taifa mwaka 2024?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Baada ya uchaguzi hali itakua hivi
Gd5WQ7UX0AA8XNz.jpeg
 

Attachments

  • Gd5WQ7UX0AA8XNz.jpeg
    Gd5WQ7UX0AA8XNz.jpeg
    84.5 KB · Views: 4
Allen Kilewella ni kama mtu aliyeambiwa Kati ya korodani zako mbili minya korodani moja, alafu anazipenda korodani zake zote.

Acha kubabaika chagua mmoja Kati ya Lisu na Mbowe.
 
Kumbukumbu kwamba Mbowe alisema kuwa kwenye uchaguzi wa CHADEMA mwaka huu hatagombea zipo.

Ni lini Mbowe alibatilisha kauli yake hiyo na kusema atagombea nafasi hiyo?

Naona kama CCM wananena Kwa lugha!!
CCM Wana mawazo ya Janabi WHO. NDOTO YA ASUBUHI
 
Back
Top Bottom