Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Niliomba aseeMzee uliomba nafasi nn?
Lakini majiko mawili uhakika( kihangaiko , Oljoro)?Confirmed uwezekano wa kuwa na majiko matatu haupo sababu ni
Miundombinu
Siasa
Lonja mkuu.. Kwa tulio mtaani kuna dalili kweli?Waleeeeee
ππππ
Kama Hana D mbilii na C ya Civics hawezi elewa huyu sa hivi Kila sehem maelekezoYaaani haitabiliki vijana wenye sifa zao wataitwa kwa simu tusitegemee sana PDF
Vp Kuna news yoyoteeWaleeeeee
ππππ
Namjua ushampata?Namtafuta rafiki yangu Yaragwira mkuyumba tulipotezana mkoani kigoma mwaka 2010 mwanga primary school
Kimya wakuuNamjua ushampata?
Mkuu Zafrain sag kama unalolote ullilolipata tufahamishe mkuu... mm naamin lonja zakoKimya wakuu
Kifo ni popote boss usikaririNawashangaa mnavyolilia nafasi za kwenda kufa. Mnakitamani kifo?
π€£π€£π€£Umeomba Jeshi sababu umekosa ajira serikali? Au unaomba sababu ya uzalendo? Ukinijibu vizuri nitakusaidia
Bado sijampataNamjua ushampata?