The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
House girl hawezi kuitisha kikao cha familia hapo anapo fanya kazi.Najisikia vibaya sana jinsi Marais wetu huitwa kwa hawa ndugu zetu weupe kama vile unaita vitoto vyako vya kuvizaa.
Natamani siku ifike na sie Africa kama si Tanzania tuwaite eu au Amerika waje hapa bongo alafu tukae nao mbele ya meza ya duara tujadili kwa usawa kabisa fursa za kibiashara baina yao na sisi
Ni ngumu hilo kuwezekana hatufanani nao wale sio wenzetu kuanzia rangi n.kNajisikia vibaya sana jinsi Marais wetu huitwa kwa hawa ndugu zetu weupe kama vile unaita vitoto vyako vya kuvizaa.
Natamani siku ifike na sie Africa kama si Tanzania tuwaite eu au Amerika waje hapa bongo alafu tukae nao mbele ya meza ya duara tujadili kwa usawa kabisa fursa za kibiashara baina yao na sisi
Money is powerNajisikia vibaya sana jinsi Marais wetu huitwa kwa hawa ndugu zetu weupe kama vile unaita vitoto vyako vya kuvizaa.
Natamani siku ifike na sie Africa kama si Tanzania tuwaite eu au Amerika waje hapa bongo alafu tukae nao mbele ya meza ya duara tujadili kwa usawa kabisa fursa za kibiashara baina yao na sisi
Sisi tuna raw materials sema wanaotuongoza ndivyo hivyo tena!Money is power
Kwa "FOCAC" tumeitana...Najisikia vibaya sana jinsi Marais wetu huitwa kwa hawa ndugu zetu weupe kama vile unaita vitoto vyako vya kuvizaa.
Natamani siku ifike na sie Africa kama si Tanzania tuwaite eu au Amerika waje hapa bongo alafu tukae nao mbele ya meza ya duara tujadili kwa usawa kabisa fursa za kibiashara baina yao na sisi
Mmeitana na nani mkuuKwa "FOCAF" tumeitana...
China nayo imeitikia....
Ni kinyume na wengine....
China ni wajamaa wenzetu....sera zao za KIUCHUMI hazina "ubwanyenye na umangimeza"....
Lakini tunaambiwa china na Tanzania zimewahi kuwa sawa kwa mapato sasa na sisi ni lini?Money is power
Tumeitana AFRICA na CHINA..Mmeitana na nani mkuu
Huku sio kuitana mkuu tumeitwa ndio maana tumekusanywa huko Beijing kama makondooTumeitana AFRICA na CHINA..
Tena waje tuwapokee Airport kwenye YUTONG moja....wajue nasi tunazo fursa!Najisikia vibaya sana jinsi Marais wetu huitwa kwa hawa ndugu zetu weupe kama vile unaita vitoto vyako vya kuvizaa.
Natamani siku ifike na sie Africa kama si Tanzania tuwaite eu au Amerika waje hapa bongo alafu tukae nao mbele ya meza ya duara tujadili kwa usawa kabisa fursa za kibiashara baina yao na sisi
Asian Infrastructure Investment Bank imeanzishwa hivi juzijuzi tu na ina nchi 26 za ULAYA zilizo WANACHAMA....Huku sio kuitana mkuu tumeitwa ndio maana tumekusanywa huko Beijing kama makondoo
Mkinichagua siku mia moja za kwanza nawakusanya kwetu nyumbani kama kumbikumbi,hakuna cha mav x,roll roise,wala marangerover.Ila kwa mabasi mkururu hadi kituo cha mkutano.Najisikia vibaya sana jinsi Marais wetu huitwa kwa hawa ndugu zetu weupe kama vile unaita vitoto vyako vya kuvizaa.
Natamani siku ifike na sie Africa kama si Tanzania tuwaite eu au Amerika waje hapa bongo alafu tukae nao mbele ya meza ya duara tujadili kwa usawa kabisa fursa za kibiashara baina yao na sisi
Kabisa mkuuTena waje tuwapokee Airport kwenye YUTONG moja....wajue nasi tunazo fursa!