A
Anonymous
Guest
Suala hili kweli ni kero kubwa, sana Kwa watumishi, inafifiza moyo wa kufanya kazi, chanzo Cha magonjwa ya zinaa na UKIMWI, msongo wa mawazo, ukosefu wa furaha nk.
Usitawi wa familia unaangania kisa utumishi wa umma; mpaka nawaza niache kipi kati ya ajira au familia..
Kila siku napishana na familia kisa umbali, halafu asubuhi uamkie ofsini ni mtihani,
Kauli ya serikali ilikuwa inafufua matumaini lakini mpka Sasa ipo kimya.
Usitawi wa familia unaangania kisa utumishi wa umma; mpaka nawaza niache kipi kati ya ajira au familia..
Kila siku napishana na familia kisa umbali, halafu asubuhi uamkie ofsini ni mtihani,
Kauli ya serikali ilikuwa inafufua matumaini lakini mpka Sasa ipo kimya.