Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 94,296 Reaction score 122,540 Apr 26, 2024 #1 Wajuzi na wajuvi, ni lini hizi sherehe za sikukuu za kitaifa zisizo za kidini ziligeuka na kuwa fursa ya wanajeshi kufanya maonyesho ya kazi zao? Maana sikumbuki kabisa kuona mambo kama haya miaka ya nyuma enzi za Mkapa, Mwinyi, na kwa kiasi hata Nyerere. Pengine labda nimesahau. Kama ni hivyo, basi naomba kukumbushwa kama hata huko nyuma yalikuwepo haya maonyesho ya aina hii. Na lengo lake ni lipi hasa? Kutisha waleta chokochoko? Hii ni leo katika kusherehekea siku ya muungano. View: https://youtu.be/AcYex2b3448?si=qi7Ve1LeMO5VcnvB
Wajuzi na wajuvi, ni lini hizi sherehe za sikukuu za kitaifa zisizo za kidini ziligeuka na kuwa fursa ya wanajeshi kufanya maonyesho ya kazi zao? Maana sikumbuki kabisa kuona mambo kama haya miaka ya nyuma enzi za Mkapa, Mwinyi, na kwa kiasi hata Nyerere. Pengine labda nimesahau. Kama ni hivyo, basi naomba kukumbushwa kama hata huko nyuma yalikuwepo haya maonyesho ya aina hii. Na lengo lake ni lipi hasa? Kutisha waleta chokochoko? Hii ni leo katika kusherehekea siku ya muungano. View: https://youtu.be/AcYex2b3448?si=qi7Ve1LeMO5VcnvB
uran JF-Expert Member Joined Nov 11, 2013 Posts 10,392 Reaction score 15,948 Apr 26, 2024 #2 Hii ya kuburutwa na gari inasaidia nini? Inafundisha nini?
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Apr 27, 2024 #3 Kuonesha umwamba... Cc: Mahondaw
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 67,252 Reaction score 168,563 Apr 27, 2024 #4 Smart911 said: Kuonesha umwamba... Cc: Mahondaw Click to expand... Nilipenda Walivochora ile miaka 60 ya muungano !
Smart911 said: Kuonesha umwamba... Cc: Mahondaw Click to expand... Nilipenda Walivochora ile miaka 60 ya muungano !
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Apr 27, 2024 #5 Muungano ni Ukaguzi wa Gwaride hakunaga hotuba Kawaida sana bwashee 😄