BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
...urais vijana wa Tanzania?
Tunaona wenzetu Wamarekani pamoja na kuwa ni Taifa kubwa lakini limewaamini vijana wenye umri sawa na miaka ya uhuru wa Tanzania. Obama ana miaka 47 na VP wa Mcsame ana miaka 44.
Rais anayefuata wa Tanzania 2010, kwa maoni yangu, asizidi miaka 45. Swala la kutokuwa na experience halipo maana hao wenye experience kama fisadi Mkapa tunajua alifanya nini alipokuwa madarakani na JK ambaye naye ana 'experience' nchi imeshamshinda siku nyingi anachokifanya sasa hivi ni kujibaraguza tu.
Waungwana mnasemaje?
Tunaona wenzetu Wamarekani pamoja na kuwa ni Taifa kubwa lakini limewaamini vijana wenye umri sawa na miaka ya uhuru wa Tanzania. Obama ana miaka 47 na VP wa Mcsame ana miaka 44.
Rais anayefuata wa Tanzania 2010, kwa maoni yangu, asizidi miaka 45. Swala la kutokuwa na experience halipo maana hao wenye experience kama fisadi Mkapa tunajua alifanya nini alipokuwa madarakani na JK ambaye naye ana 'experience' nchi imeshamshinda siku nyingi anachokifanya sasa hivi ni kujibaraguza tu.
Waungwana mnasemaje?