Ni kweli; katika sehemu nyingi duniani hapa, viongozi vijana wamesaidia sana nchi zao kuliko viongozi wazee. Angalia enzi za Clintoni huko Marekani, wakati huo alikuwa kwenye 40's tu. Kumbuka miaka ya sitini jinsi Nyerere alivyofanya mageuzi sana Tanzania akiwa kwenye 40's tu, Sokoine alifanya mengi lakini akiwa kwenye 40's tu. hata kule Zimbabwe, Mugabe alikuwa shujaa sana kabla hajavuka ikweta. Nafikiri njia ya kwanza katika kutatua jambo hili ni kuweka term limits kwenye nafasi zote za kisiasa.