Ni lini tutafuta na kumaliza kabisa maumivu ya ud songo

Mimi simba Damu mkuu ila mpaka nikilala naweweseka juu ya ud songo alafu tuliambiwa tunanzia makundi mara tunanzia kwa vitoto vya kimakonde
 
yanga akitolewa na zesco anaenda shirikisho kumalizia maumivu yake, , simba sasa maumivu yenu ni mpaka mwakani mwezi wa 8 ndio mtanusa kimataifa! poleni sana!
Hahaah na mkitolewa shirikisho mtanusa kimataifa lini tena....???mwaka kesho kutwa???...maana hakuna tena wakuwabeba mshiriki kimataifa kama mlivyobebwa mwaka huu
 
Hahaaah endelea kuweweseka mkuu....sisi mashabiki wa timu yetu ya kwasukwasu fc acha tuendelee kuiendesha timu yetu ya wananchi kwa harambeeee....kinachoniuma sikuhizi tunafungwa na vitimu kama jkt ruvu..sasa hapo ubingwa si tusahau mkuu na mwakani haya mashindano ya kimataifa si tutaishia kuyasikia tu maana alietubeba mwaka huu mpaka tukashiriki ndo nyie simba na mshatolewa na wamakonde
Mimi simba Damu mkuu ila mpaka nikilala naweweseka juu ya ud songo alafu tuliambiwa tunanzia makundi mara tunanzia kwa vitoto vya kimakonde
 
Sasa na wale wachezaji wetu vibabu wawa kagere nyoni shibobo boko chama wahindiΓ—2 hivi sasa mwakani si watatwongezea muweweseko mwakani
 
Sasa na wale wachezaji wetu vibabu wawa kagere nyoni shibobo boko chama wahindiΓ—2 hivi sasa mwakani si watatwongezea muweweseko mwakani
Mkuu umenitajia hicho kibabu chenu cha simba kagere umenikumbusha maumivu ya mechi iliyopita...icho kibabu ndo kilitufanya si mashabiki wa kwasukwasu tulale na viatu...yaani kibabu kinafunga hicho...msimu uliopita hawa vijana wetu wa yanga walishindwa kukikaribia kabisa kwa magoli...yaani mkuu bora nyingi mna vibabu vinafunga sisi huku tumepigwa kwa kupewa mabaunsa ya congo yanafunga magoli ya penati tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
wakati yanga tunacheza kimataifa, simba mko nyumbani mnacheza na namungo, yaani usajili wa bilioni 3 unaishia kwa namungo. Tena naombea yanga itolewe na zesco ili tulichukue kombe la shirikisho
 
wakati yanga tunacheza kimataifa, simba mko nyumbani mnacheza na namungo, yaani usajili wa bilioni 3 unaishia kwa namungo. Tena naombea yanga itolewe na zesco ili tulichukue kombe la shirikisho
Kombe lipi la shirikisho mchukue??? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ....mshawahi lichukua kumbe???
 
Sisi Mikia fc tuna kikosi cha bilioni 3 ila safari za mechi zetu ni Ruangwa, Namfua, Shinyanga, Mabatini, Mkwakwani, Kagera, Samora wakati wenzetu Yanga ndio kama hivyo safari zao ni Zambia, Botwasana, Congo halafu hawana hata mbwembwe.
 
Siku na ud songo kilikua wapi mechi zote mbili huoni kinakambuzi wanakasaidia aka kababu ketu
 
wakati yanga tunacheza kimataifa, simba mko nyumbani mnacheza na namungo, yaani usajili wa bilioni 3 unaishia kwa namungo. Tena naombea yanga itolewe na zesco ili tulichukue kombe la shirikisho
Yani sisi wa kikosi cha billion tatu tutolewe na team ya mchangani nyie mchukue
 
Siku na ud songo kilikua wapi mechi zote mbili huoni kinakambuzi wanakasaidia aka kababu ketu
Kumbe kambuzi ndo alichezesha hata ile mechi ya alhaly na zote za club bingwa ambazo kababu kalifunga??Or kambuzi ndo yule aliyekataa lile clear goli la pili tulilofungwa juzi na jkt ruvu....hahaaaaaah kama ndo mwenyewe alitusaidia kupunguza aibu mkuu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Kambuzi na jamii yake ndio waliokubali goli letu la offside na mtibwa. Kambuzi alikosekanika tukila 13 kwa vita al haly na waljeria
 
Kambuzi na jamii yake ndio waliokubali goli letu la offside na mtibwa. Kambuzi alikosekanika tukila 13 kwa vita al haly na waljeria
Hahaaah kambuzi ndo akawapeleka nyinyi simba robo fainali....sisi yanga katunusuru kwa aibu ya kipigo cha goli mbili juzi...kakaataa clear goli kabisa...makofi kwa kambuzi plizzzzzzz πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
wakati yanga tunacheza kimataifa, simba mko nyumbani mnacheza na namungo, yaani usajili wa bilioni 3 unaishia kwa namungo. Tena naombea yanga itolewe na zesco ili tulichukue kombe la shirikisho
Hata hatua ya makundi hamtatoboa
 
wakati yanga tunacheza kimataifa, simba mko nyumbani mnacheza na namungo, yaani usajili wa bilioni 3 unaishia kwa namungo. Tena naombea yanga itolewe na zesco ili tulichukue kombe la shirikisho
Mkuu forget about 3B,walijinasibu sana kwamba;Mfumo wao wa usajili mwaka huu hakuna anaejua/hakuna atakaejua kwamba wanasajili kitaalam zaidi,kumbe walienda Pakistan kufanya scouting na wakapewa na wachezaji wa nyongeza,kilichowakuta kutoka kwa yule jamaa anaitwa Louis Misquinsone(Ud songo Captain) mmmh hawatamsahau..!
 
Mikia ndiyo wamewaletea gundu azam,nilipokuwa Chamazi Leo naona mzungu wao anagawa tiketi na kuhamasisha nikajua tu hawa azam watapata tabu maana mikia wanapambana ili wote tufanane
 
mleta mada ni mnazi wa yanga basi tu uhuru wa kusema na kuandika chochote usije kaa jukwa letu uwanjani
 
huko pakistani au Afghanistan kwani shibobu wa wapi yule ataambia nini watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…