Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
HayaWameshahamia bado Sugu tu
Dodoma hakuna beach mkuu.Hili Swali nimejiuliza sana bila kupata majibu.
Ni dhahiri Wasanii wa Tanzania ni Tawi la CCM, na kwa vile Vitengo vyote vya Chama hicho vimehamishiwa Dodoma, Sioni sababu yoyote ya Wasanii hawa kubaki Dar es Salaam.
Wasanii Wametii kila walichoelekezwa na ccm, kwa Ukamilifu Mkubwa, ikiwemo mambo ya kudhalilisha kama kuoga Tope na kutikisa maungo yao hadharani ili kuwafurahisha Viongozi, Wanapata wapi Ugumu wa kuhamia Dodoma ili kutii Agizo la Chama?
Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao, Samia queens, Shilole, Wasafi Media na wengine wengi ni wakati wa kumuunga Mkono Mama kwa kuhamia Dodoma haraka
Wasanii wengi wa Tanzania wanataka Unga tu, Ambao Dodoma upoDodoma hakuna beach mkuu.
Unga bila maji hupiki ugali.Wasanii wengi wa Tanzania wanataka Unga tu, Ambao Dodoma upo
ππππ sikumaanisha sembe.Unga bila maji hupiki ugali.
Hata huo unaitwa sembe pia.ππππ sikumaanisha sembe.
Wasanii wa Tanzania wanahitaji unga wa kulevya, Wanawake/Wanaume wa kufanya nao starehe tu, hawana makubwa hao, kwanza wengi ni WashambaHata huo unaitwa sembe pia.
Wasifu wa Sugu Moto Chini πΌπ₯Wasanii wa Tanzania wanahitaji unga wa kulevya, Wanawake/Wanaume wa kufanya nao starehe tu, hawana makubwa hao, kwanza wengi ni Washamba
Umerukwa na akili?Wasifu wa Sugu Moto Chini πΌπ₯
Hao wote takaΓ2 tuHili Swali nimejiuliza sana bila kupata majibu.
Ni dhahiri Wasanii wa Tanzania ni Tawi la CCM, na kwa vile Vitengo vyote vya Chama hicho vimehamishiwa Dodoma, Sioni sababu yoyote ya Wasanii hawa kubaki Dar es Salaam.
Wasanii Wametii kila walichoelekezwa na ccm, kwa Ukamilifu Mkubwa, ikiwemo mambo ya kudhalilisha kama kuoga Tope na kutikisa maungo yao hadharani ili kuwafurahisha Viongozi, Wanapata wapi Ugumu wa kuhamia Dodoma ili kutii Agizo la Chama?
Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao, Samia queens, Shilole, Wasafi Media na wengine wengi ni wakati wa kumuunga Mkono Mama kwa kuhamia Dodoma haraka
UmevurugwaUmerukwa na akili?
HayaUmevurugwa
Hatutawaachia, tutawahoji mwanzo mwisho