Wana Jamvi, Ni karibu miezi miwili imepita sasa tangia matokeo ya mtihani wa darasa la saba yalipotolewa. Hivi tunakaribia kuingia January lakini Wizara ya Elimu bado haijawapangia shule wanafunzi waliofaulu mtihani huo. Kuna mtu anajua ni lini tutarajie hayo majibu? Hivi tarehe za vijana wa kidatocha kwanza kuanza masomo umebadirika siku hizi?
Tiba