Ni lipi basi zuri la Dar - Mwanza?

Shukrani sana kiongozi 🙏
 
wwe jamaa unayajua vizuri Sana haya Mabus Ila hata Mimi naikubali Sana DVA nilipanda mwezi 4 hakika huyo Dereva anaovetake kama anachezea play station, nashangaa watu wasifia akina sauli kumbe hawajui kuna machizi wapo barabara ya Mwanza
 
Huu ni ujinga mtupu , high speed kills.
 
964 DVA 🍊🍊 a.k.a Night Hunter ya Ginimbi imekula kizinga Chalinze jana usiku😢😢😢
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…