TuntemekeSanga
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,346
- 862
Jina kamili mkuu. Nashukuru kwa kuchangia mada, naamini utakuwa na exposure zaidi wewe kwa umaarufu wako. Naomba majina kamili.Boniventure
Anhaa! Sio Ibrahim Said, sindio?Boniventure Deodata kabongo
Mkuu unataka jina au tayari umeshawalisha matango pori na unataka tukusupport ?Anhaa! Sio Ibrahim Said, sindio?
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji24]Mkuu unataka jina au tayari umeshawalisha matango pori na unataka tukusupport ?
Roma ndiyo IbrahimAnhaa! Sio Ibrahim Said, sindio?
Jamaa flow yake rahisi sana mm halafi ipo flat kinomaHabar ya weekend wanajamvi. Nina ligi flan hapa nawanangu kijiweni. Naombeni mwenye kujua, anisaidie jina halisi la Nguli huyo wa Hiphop (Stamina)
Natanguliza shukran za dhati
Ibrahim Mussa...Mkatoliki wa RomaAnhaa! Sio Ibrahim Said, sindio?
Ni Kabogo mkuu sio Kabongo hawa jamaa asili yao ni watu wa iringa Ilula .Boniventure Deodata kabongo