Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu the lost umeeleweka vyema but mbona Mabeberu?Kama wanapongeza si ilibidi waitwe jina zuri kidogo?unapowataja uwe na rejea pia, mfano...wanapotoa maoni juu ya utawala bora ni Mabeberu, wanapopongeza juhudi za maendeleo ni wabia wetu wa maendeleo na wanapotoa pesa za misaada ama maendeleo ni wahisani.
Mbona unauliza na kujibu wewe mwenyewe, kwa I'D mbili tofauti.unapowataja uwe na rejea pia, mfano...wanapotoa maoni juu ya utawala bora ni Mabeberu, wanapopongeza juhudi za maendeleo ni wabia wetu wa maendeleo na wanapotoa pesa za misaada ama maendeleo ni wahisani.
Mbona unauliza na kujibu wewe mwenyewe, kwa I'D mbili tofauti.
Halafu ndugai akiwapasha mnasema muongo!
Sent using Jamii Forums mobile app