Katika mapokeo ya Mwanzo 11 Babeli ulikuwa mji wa kwanza uliojengwa baada ya gharika kuu. Binadamu waliamua kuwa na jengo kubwa katika mji na kilele chake kifike mbinguni. Mpango huu haukumpendeza Mungu aliyechanganya lugha ya watu ambao hivyo walilazimika kuachana baadaye bila ya kukamilisha mnara wao.
Sasa Swali langu hapa Linakuja Kwa Wachambuzi wa Mambo . Je! Ni lugha pekee au Mungu aliwapiga Kitu kingine maana Wangeweza Hata Kutumia Lugha ya Picha Na Ishara kuendelea Kuujenga Mnara
Je kitu gani zaidi kilitokea mpaka Wakaamua Kuhairisha?
Sasa Swali langu hapa Linakuja Kwa Wachambuzi wa Mambo . Je! Ni lugha pekee au Mungu aliwapiga Kitu kingine maana Wangeweza Hata Kutumia Lugha ya Picha Na Ishara kuendelea Kuujenga Mnara
Je kitu gani zaidi kilitokea mpaka Wakaamua Kuhairisha?