Kwani Babu wewe ni she,halafu una kiuno kigumu,niPM ntakuelekeza kukilainisha chawa lainiiiiiiiiiiiiii,ila kama he usijaribu maana utanogewa halafu utajikuta wayakata hata barabarani,halafu hadithi itasimuliwa vingine!!!he he hee,umeona eeh?lakini shosti haya mazoezi 110 itabidi tufwatane chemba unifafanulie kwa vitendo
yaani hata hili la kiria unaliona kuwa gari la kifahari mpaka umelipost hapa kama mfano!!!??
mi ninayemjua anamiliki nyumba na inayotoka na jasho lake mwenyewe ni ladyjaydee,sijui ana ngapi ila naijua ile ya kimara.
(unaweza kumiliki nyumba lakini sio ya jasho lako)
Babu napenda unavyokaba adui ukikosa mpira hukosi mguu hahaha!
1. Mbowe (Tanzania, aliyorithi kwa babake na nyingine Uingereza, alienda kuinunuwa wakati babaake yuko hai na alikuwa na demu wa kiunguja pale London 1988 or 1989) Jiulize pesa za kununulia nyumba uingereza babake alizipata wapi nae alikuwa mtumishi wa serikali?
2. Mtikila
3. Slaa, (Nyumba mbili moja halali moja haramu)
4. Mnyika (soon, kisha anza kujenga baada ya kuukwaa ubunge!