Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,172
Alikuwa naibu waziri wa mambo ya nje wa serikali ya JK iliyopita. jana Shein kamteua kuwa mjumbe wa baraza la wawakilishiInatia moyo kwamba Seif wawili watakuwa kwenye nafasi moja ya umakamo wa raisi.
Huyu Seif Iddi ni nani?.