Ni maamuzi gali uliyafanya Mwanzoni yalikuumiza ila baadaye ukaona umefanya maamuzi sahihi?

Ni maamuzi gali uliyafanya Mwanzoni yalikuumiza ila baadaye ukaona umefanya maamuzi sahihi?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Binafsi nakumbuka nikiwa chuo rafiki yangu sana tu alikuja nimkope laki 1 na nusu, jana yake nilikuwa nimepokea kiasi flani na yeye alikuwa anajua, nikamwambia ile kishaji tu pesa sina na ya jana niliyopata ni ya msosi na mambo ya chuo na madeni,

Alizoea kuja kupiga stori na ucheshi ila kuanzia siku hio ikawa tu ni kusalimiana tu zile mambo vip na kama ni utani basi ni ule wa chini sana unaoashiria tayari urafiki umefika kikomo, Dah niliumia kimtindo na nikaona nmefanya ishu sio kwa mshkaji.

Baada ya siku chache naskia kelele kwa watu wananiomba namba ya jamaa wamcheki maana jamaa kakimbia na pesa zao jumla kama laki 9

Kumbe jamaa alikuwa kadisco chuo safari ilikuwa imeshaiva.

Nampigia wala hapatikani.

Dah, kiukweli hapa nilikwepa risasi na niliona akili imefikiria mbali.

Pia nakumbuka airport nlikuwa sitaki kabisa kubebea watu mabegi yao, nlijihisi nafanya maamuzi mabaya ila baada ya kuona kwenye T.V kuna baadhi yao huwa wanaweka madawa basi ndio mpaka leo hata awe bibi kasahau bego laki siji kumbebea
 
Pls mama D say sonething. Eagerly in wait to hear your story.

Nilikua mwembamba sana 49kg nikawa sipendi wembamba nikafanya maamuzi ya kutafuta unene nikakanenepaaa nikajikuta niko 90kg, nikagundua nimeharibu mnooo😎😎
Nikaanza kazi ya kuurudisha mwili wangu wa awali hadi nimefika 60kg cha moto nimekiona😅😅😅
 
Kugoma kusomesha demu wangu baada ya kumaliza chuo tukazinguana. Leo ningeweza hata kujinyonga kuwekeza mahali ambapo sina faida napo.
😂😂 ila sio wote wanasumbuaga baada ya kuhitimu
 
Nimewai kuwa na more Nilie mpenda Sana lakini Ali nisaliti Nika mfukuza mpaka leo sijutiii ndoa ikivunjika
 
Back
Top Bottom