Ni maamuzi gani magumu ushawahi kuyafanya yakapelekea kubadilisha maisha yako?

Ni maamuzi gani magumu ushawahi kuyafanya yakapelekea kubadilisha maisha yako?

Mboka man

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2020
Posts
478
Reaction score
1,647
Kama mnavyojua maisha ni safari ndefu sana yenye mabonde na milima lakini katika maisha kuna muda ukifika ni lazima ujifunze kufanya maamuzi magumu ambayo yatabadilisha maisha yako bila kujionea huruma

Mie upande wangu maamuzi ya kutoka nyumbani kuelekea maisha ya kujitemea yalibadili muelekeo wangu wa maisha asilimia 70 na kuanza kuiona dira ya maisha naelekea wapi.
 
Kwa upande wangu kuna vingi sana nimewai fanya ambavyo vilikua ni maamuzi magumu mengine yalkua na brutality ndani yake lakin niseme kimoja,, mwanzon nilikua ni kijana simple sana lakin nikaja gundua kuwa kusaidia sana watu kunaniludisha nyuma hasa ndug wasio na maana kwahiyo nakumbuka niliacha kusaidia watu kabisa apo nilipata unafuu mkubwa sana kwenye maisha na kuendelea vizur kiuchumi but nlisaidia wachache sana wanaoendana na mimi.
 
Kwa upande wangu kuna vingi sana nimewai fanya ambavyo vilikua ni maamuzi magumu mengine yalkua na brutality ndani yake lakin niseme kimoja,, mwanzon nilikua ni kijana simple sana lakin nikaja gundua kuwa kusaidia sana watu kunaniludisha nyuma hasa ndug wasio na maana kwahiyo nakumbuka niliacha kusaidia watu kabisa apo nilipata unafuu mkubwa sana kwenye maisha na kuendelea vizur kiuchumi but nlisaidia wachache sana wanaoendana na mimi.
Hio hatari mkuu lakini ndo inasaidia ukitaka Ku lost tu endekeza ndugu nakwambia
 
Aisee nahis sijai kufanya hicho kitu maana vyote nilivyo wai kufanya nahisi ilikuwa ni lazma nivifanye ili kutimiza wajibu japo baadhi ya watu walinishangaa
 
Kama mnavyojua maisha ni safari ndefu sana yenye mabonde na milima lakini katika maisha kuna muda ukifika ni lazima ujifunze kufanya maamuzi magumu ambayo yatabadilisha maisha yako bila kujionea huruma

Mie upande wangu maamuzi ya kutoka nyumbani kuelekea maisha ya kujitemea yalibadili muelekeo wangu wa maisha asilimia 70 na kuanza kuiona dira ya maisha naelekea wapi.
Niliacha kazi ya 'permanent and pensionable' na kwenda kufanya kazi ya mkataba wa miezi mitatu.
Acha tu. Lakini ulikuwa ni uamuzi sahihi sana!!
 
Back
Top Bottom