Naitwa japhethy, kunasiku nilkuwa naota juwa katika mji mmoja wa Spain unaitwa Bercelona, cha ajabu nilipokuwa naliangalia juwa kikatoka kitu kwenye juwa na kunipiga katoka paji langu la uso na kujihisi kimetoboa na kutokea kisogoni.
Na wakati uwo uwo nikaanza kusikia sauti kubwa kutoka kwenye juwa ndani yakichwa changu ikiniambia kuwa, yeye ni Mungu muumba kila kitu kinachoonekana na kisichoonekana kwa iyo niuwambie ulimwengu mfumo mpya wa maisha.
Kuwa waache kufanya bihashara,wasitengeneze pesa ,wawafungulie wafungwa wote na kufanya kila kitu bure kwa binaadam. sauti ikazidi kuniambia kuwa yeye ni mkubwa mwenye namba 666.
Haya mambo yalinitokea kuanzia mwaka 20006, 20007, mpaka 20008. Hivi sasa nipo Germany bado nnasauti kichwani uwa inazungumza nami na wakati mwingine nikifikiria kitu basi uwa kinatokea .
Hii ni baadhi tu ya maono ambayo yalianza kunitokea mwaka 20006 nikiwa kule spain. naomba mnisaidie ndugu zangu ,ni nini mahana ya haya yaliyonitekea ??
Na ikiwa kama kuna mtu anafikilia kunisaidia lkn hakunielewa vizuri na anataka ajuwe historia ya maisha yangu na mwanzo kabisa wa maono ,basi naomba aniambie na mimi ntaandika yote yaliyonikuta, kwani yanatisha sana.
Asanteni natumaini mtanisaidia!
Na wakati uwo uwo nikaanza kusikia sauti kubwa kutoka kwenye juwa ndani yakichwa changu ikiniambia kuwa, yeye ni Mungu muumba kila kitu kinachoonekana na kisichoonekana kwa iyo niuwambie ulimwengu mfumo mpya wa maisha.
Kuwa waache kufanya bihashara,wasitengeneze pesa ,wawafungulie wafungwa wote na kufanya kila kitu bure kwa binaadam. sauti ikazidi kuniambia kuwa yeye ni mkubwa mwenye namba 666.
Haya mambo yalinitokea kuanzia mwaka 20006, 20007, mpaka 20008. Hivi sasa nipo Germany bado nnasauti kichwani uwa inazungumza nami na wakati mwingine nikifikiria kitu basi uwa kinatokea .
Hii ni baadhi tu ya maono ambayo yalianza kunitokea mwaka 20006 nikiwa kule spain. naomba mnisaidie ndugu zangu ,ni nini mahana ya haya yaliyonitekea ??
Na ikiwa kama kuna mtu anafikilia kunisaidia lkn hakunielewa vizuri na anataka ajuwe historia ya maisha yangu na mwanzo kabisa wa maono ,basi naomba aniambie na mimi ntaandika yote yaliyonikuta, kwani yanatisha sana.
Asanteni natumaini mtanisaidia!