Ni maeneo gani ambayo huwezi kuambiwa karibu tena?

Ni maeneo gani ambayo huwezi kuambiwa karibu tena?

Majan

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2015
Posts
1,271
Reaction score
1,828
Nidesturi ya sehemu nyingi kuambiwa "KARIBU TENA" baada yakupatiwa huduma fulani lakini maneo haya kamwe huwezi kuambiwa karibu tena nakama utaambiwa hivyo basi utahisi unatakiwa NUKSI ama UCHURO baadhi yamaeneo hayo ni:
(1):-MORTUARY
(2):-KWAMUUZA MAJENEZA
(3):-GEREZANI

Ongeza na wewe sehemu unayozani huwezi kuambiwa "KARIBU TENA"

 
Nyumbani kwako mwenyewe
Nani akawambie karibu tena?

Nyumba uliyoingia na kuwavuruga
 
Back
Top Bottom