Ni maeneo yapi ambapo wamachinga wamerudi baada kuondolewa?

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Kwanza pongezi kwa serikali kwa kutenga maeneo ya wafanya biashara ndogo ndogo maarufu kama machinga na kuendesha zoezi kuwaondoa maeneo ambayo sio maalum na kuwapeleka maeno maalum kwa biashara zao.

Cha kusikikitsha kuna ambao sio waungwana wamerudi tena sasa weka hapa eneo mtaa wilaya na mkoa ambao unaona wamerudi serikali iangalie.
 
Kko kuna baadhi maeneo wamerudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…