Ni majangaaaa! mwisho wa kutuma maombi Ya ualimu Bado ni kitendawili

Chizy Za kitaa

Senior Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
167
Reaction score
13
Wizara ya elimu imeanza kupokea maombi ya ualimu pasipo kufafanua mwisho wa ku2ma maombi. jaman tunaipeleka wap elimu ye2? naishauri wizara kuedit upya lile tangazo lao ili mambo yawe wazi. nawasilisha
 
Wizara ya elimu imeanza kupokea maombi ya ualimu pasipo kufafanua mwisho wa ku2ma maombi. jaman tunaipeleka wap elimu ye2? naishauri wizara kuedit upya lile tangazo lao ili mambo yawe wazi. nawasilisha

Watu wanataka wapige Pesa, siumeona nao wameanza mambo ya M-pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…