Ni Makamba au Mwigulu ambao wameanza kumtesa Mama?

Ni Makamba au Mwigulu ambao wameanza kumtesa Mama?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Chalamila anaropoka ambayo ametumwa. Haya mambo tunaomba sana. Mwacheni Rais jamani. Huyu ataendelea kuwepo mpaka 2030 so mnaoanza kutaka kufanya mchakato komeni kabisa.

Chalamila anatumika kufikisha ujumbe kwa watu. Bahati nzuri mama yeye hawezi zungumza sababu ya upole na hapendi maneno. Chalamila ni BWATUBWATU. Huongea linalomjia mdomoni iwe limetoka moyoni au limepitia masikion.

So nawaambia acheni kumtesa mama. Ridhikeni na nafasi mlizopewa. Toshekeni nazo. Msianze kumtesa.
 
Chalamila anatumika kufikisha ujumbe kwa watu. Bahati nzuri mama yeye hawezi zungumza sababu ya upole na hapendi maneno. Chalamila ni BWATUBWATU. Huongea linalomjia mdomoni iwe limetoka moyoni au limepitia masikion.
Muulize Ndugai
 
Chalamila anakuja kuwa WAZIRI 2025 Acha tusubiri muda utakuja kutuambia
 
Chalamila anaropoka ambayo ametumwa. Haya mambo tunaomba sana. Mwacheni Rais jamani...huyu ataendelea kuwepo mpaka 2030 so mnaoanza kutaka kufanya mchakato komeni kabisa.

Chalamila anatumika kufikisha ujumbe kwa watu. Bahati nzuri mama yeye hawezi zungumza sababu ya upole na hapendi maneno. Chalamila ni BWATUBWATU. Huongea linalomjia mdomoni iwe limetoka moyoni au limepitia masikion.

So nawaambia acheni kumtesa mama. Ridhikeni na nafasi mlizopewa. Toshekeni nazo. Msianze kumtesa.
Kwa sasa kinacho hitajika ni mabadiliko ya kweli, uje mfumo mpya kabisa.
 
Chalamila anaropoka ambayo ametumwa. Haya mambo tunaomba sana. Mwacheni Rais jamani...huyu ataendelea kuwepo mpaka 2030 so mnaoanza kutaka kufanya mchakato komeni kabisa.

Chalamila anatumika kufikisha ujumbe kwa watu. Bahati nzuri mama yeye hawezi zungumza sababu ya upole na hapendi maneno. Chalamila ni BWATUBWATU. Huongea linalomjia mdomoni iwe limetoka moyoni au limepitia masikion.

So nawaambia acheni kumtesa mama. Ridhikeni na nafasi mlizopewa. Toshekeni nazo. Msianze kumtesa.
Hao Wawili wanaotaka URAIS wa Uchu wa hali ya juu kama ilivyokuwa kwa JK na Lowassa
 
Kwa sifa anazopema Rais Samia, kuna ubaya gani ndani ya chama aka pambanishwa na wanachama wengine ili sanduku la kura liamue atakaegombea?

Mambo ya kuchapisha fomu moja ya uraisi ni woga, na kinachowaogopesha ni rushwa wanayotoa kupata uongozi,
Kwamba kwa tabia ya uchawa ulitukuka ndani ya chama, mgombea anaweza kununua kura, na akaingia Ikulu kirahisi kabisa,
 
Mama Kuna mmoja anataka kukuondoa Kama Deo Filiku******.
 
Wacha yamkute, hata mzazi akidekeza sana mtoto iko siku ataharibiwa mbele ya wageni, ndicho kinachoenda kumkuta Samia.
 
Mwigulu mwigulu ,anasema maiti zinazoonekana baharini sio za watanzania ni za wasomali
 
Back
Top Bottom