Ni Makosa Gani huwa tunafanya tukiwa katika miaka 30-40 kwenye Maisha yetu?

Ni Makosa Gani huwa tunafanya tukiwa katika miaka 30-40 kwenye Maisha yetu?

maishapopote

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2009
Posts
3,408
Reaction score
6,094
Habari wakuu,

Nimekaa Nikajiuliza sana hili swali, Naamini kabisa kuna wadau amabao wameshavuka miaka hiyo hapo juu, na wengine bado hawajafika umri huo,na wengine tuko katika kipindi hicho,kwa uelewa wa kila mmoja, pamoja na uzoefu na mambo ya ukweli yaliyowahi kututokea kwenye maisha yetu

Naomba tujadiliane kwa kina kabisa ka manufaa ya ambao wako hapo na ambao hawajafika,kwa kujadiliana ni makosa gani ambayo hupaswi, au ulifanya au unaamini unafanya katika maisha ukiwa na umri wa miaka 30, 35 na 40 yanayohusu kila kitu, kuanzia kwenye elimu, wazazi, familia uwekezaji na maendeleo,ndoa,mapenzi,marafiki,pombe,vyakula ,afya watoto, imani, Mungu, Muda, makazi na Mahali na megineyo mengi sana!

tafadhali sana tupunguze kejeli na tuongee bila woga naamini hii mada itasaidia wengi, na ingekua vizuri sana kama
tutatoa mifano hai na ambayo itatusaidia.

shukrani
 
Huo ni umri umeenda mbali mara nyingi makosa hufanywa kati ya kipindi cha kupevuka mpaka wakati wa kufikia miaka 25 hivi baada ya hapo ni kujifunza kutokana na makosa ya nyuma! ukifanya makosa katika umri huo ulioutaja ni hatari sana you are gone for good ni wachache sana huweza kusimama tena hasa kwenye swala la kiuchumi na mafanikio mengineyo
 
Makosa mara nyingi hufanyika kati ya miaka 14 hadi 25, huo umri 30-45 kaishakuwa mtu mzima yeye hasa ni wakutoa ushauri kwa jamii husika juu ya yale aliyopitia aidha mazuri au mabaya, kufata au kutoyafuata. Ila kosa naloona mm kwa upeo wangu japo kidogo ni ambapo mtu wa umri mkubwa hasa 45 ana familia yake na watoto kadhaa thn anaoa mke wa pili thn kabinti kadogo 19 vile. So stupidity
 
Makosa mara nyingi hufanyika kati ya miaka 14 hadi 25, huo umri 30-45 kaishakuwa mtu mzima yeye hasa ni wakutoa ushauri kwa jamii husika juu ya yale aliyopitia aidha mazuri au mabaya, kufata au kutoyafuata. Ila kosa naloona mm kwa upeo wangu japo kidogo ni ambapo mtu wa umri mkubwa hasa 45 ana familia yake na watoto kadhaa thn anaoa mke wa pili thn kabinti kadogo 19 vile. So stupidity

Mkuu nini huwa kinasababisha hali kama hii ya kuoa mke wa pili ukiwa na miaka 45? Ni tamaa au ni uhitaji wa msaidizi
 
Huo ni umri umeenda mbali mara nyingi makosa hufanywa kati ya kipindi cha kupevuka mpaka wakati wa kufikia miaka 25 hivi baada ya hapo ni kujifunza kutokana na makosa ya nyuma! ukifanya makosa katika umri huo ulioutaja ni hatari sana you are gone for good ni wachache sana huweza kusimama tena hasa kwenye swala la kiuchumi na mafanikio mengineyo

Mkuu makosa hayo ya miaka ya ujanani hadi miaka 25 ni makosa ya muhimu sana kwenye maisha yetu lakini makosa ya kuanzia 30 hv ni makosa ambayo tunayafanya tukiwa tumepevuka kabisa
 
Mkuu nini huwa kinasababisha hali kama hii ya kuoa mke wa pili ukiwa na miaka 45? Ni tamaa au ni uhitaji wa msaidizi
Nadhani sababu kuu ya mtu mwenye 45 kuoa 19 mpaka 25 inatokana na wanawake wengi wakifika umri wa 35 na kuendelea mashine zao hupungua kufanya kazi kwenye sex. Wakati mwanaume mashine yake ikiwa kama gari la Fuso,Pia wanawake wadogo hawajaumizwa sana kwenye maisha ya mapenzi. Wakati wakubwa washapitia mengi sana, halafu 19 mpaka 25 ndio kwanza wanaanza kuhave fun na maisha wakati wenye 35 na kuendelea wapo kukuza familia na kurudi kwa Mola wao kwa makosa waliotenda walipokuwa vijana.
 
Kuacha Mke au Mume, Kushabikia siasa badala ya Kufanya honest analysis na Kuwa na Msimamo dignified juu ya Maswala ya Kijamii
 
Huo ni umri umeenda mbali mara nyingi makosa hufanywa kati ya kipindi cha kupevuka mpaka wakati wa kufikia miaka 25 hivi baada ya hapo ni kujifunza kutokana na makosa ya nyuma! ukifanya makosa katika umri huo ulioutaja ni hatari sana you are gone for good ni wachache sana huweza kusimama tena hasa kwenye swala la kiuchumi na mafanikio mengineyo

Makosa yanaanzia toka siku ya kuzaliwa, kama wazazi na mfumo haukosawa hata ufike miaka 25 huko ni tabu tu. Mtu anaweza kufanikiwa ktk umri wowote, hakuna formula
 
Mie nafanya makosa kila siku na I'm 33

1)sijaoa ila watoto 2 ninao
2)nakunywa sana pombe, mpaka wazazi wanahuzunika sana
3)nimeuza nyumba yangu nimebaki na gari tu (muda wowote nalo naliuza)
4)naamini God's Dead
5)kila ninachofanya nawaudhi watu

Usiniulize kwanini coz this is the way I choose to live.
 
dahhhhhh umeuliza jambo la msingi sn
1; Kikazi...uzoefu untoa kua most hufnyia kazi vitu ambavyo c professional yao
.....except MD s na some engineers

3; km hujaoa una mtoto nje au uko njiani / ujaole bdo mostly n probably ni single mom

3; bdo unasaka hela sanaaa

5; unakula kiasi na bajet
 
Mie nafanya makosa kila siku na I'm 33

1)sijaoa ila watoto 2 ninao
2)nakunywa sana pombe, mpaka wazazi wanahuzunika sana
3)nimeuza nyumba yangu nimebaki na gari tu (muda wowote nalo naliuza)
4)naamini God's Dead
5)kila ninachofanya nawaudhi watu

Usiniulize kwanini coz this is the way I choose to live.
Oa sasa, ili ukae sawa
 
Huo ni umri umeenda mbali mara nyingi makosa hufanywa kati ya kipindi cha kupevuka mpaka wakati wa kufikia miaka 25 hivi baada ya hapo ni kujifunza kutokana na makosa ya nyuma! ukifanya makosa katika umri huo ulioutaja ni hatari sana you are gone for good ni wachache sana huweza kusimama tena hasa kwenye swala la kiuchumi na mafanikio mengineyo
kweli kabisa
 
Back
Top Bottom