Ni mambo gani muhimu ya kujiandaa baada ya mke wako kujifungua?

Ni mambo gani muhimu ya kujiandaa baada ya mke wako kujifungua?

Kifaru86

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2017
Posts
1,734
Reaction score
3,822
Ndugu zangu najianda kuitwa baba kijacho siku si nyingi sasa nimeanza safari ya kulea ujauzito nimeshatia mimba mtoto wa mtu baada ya miezi tisa nakaribia kuitwa baba hivyo basi naombeni mwongozo mtu mzima majukumu ndo haya.

So nisaidie maswala muhimu kipindi kajifungua.

1622448833333.png

 
Yaani ulivyoandika hapo is likely kuwa maturity yako bado. Hivyo basi kuwa baba si kuwa na mtoto tu bali ni majukumu ya kibaba na ukomavu wa kiutu uzima. Unasema umemtia mimba hivyo unajiandaa kuitwa baba kijacho??
 
Kuna jamaa hapo anadai utafute 2M usimsikilize.

Awepo mtu wa kumsaidia kufua, kusafisha nyumba na kupika.

Hua anahitajika kuogeshwa na kukandwa (kama mama yake yupo pengine washaliongea hili).

Atatakiwa kuhudhuria kliniki, jitahidi uwepo.

Mafuta ya nyonyo unanunua ya elfu mbili tu mi sikujua nikanunua kichupa kizima hadi leo yapo na mtoto anaongea sasa hivi.

Bima kwa mtoto ni 50,400/=

Kushonana kama hana complications ni baada ya siku 40. Ila jikaze angalau miezi 6.

Hakikisha mama mtu anakula inavyotakiwa na ananyonyesha. Wengine hua hawanyonyeshi ili ziwa lisilale. Encourage kunyonyesha.

Hospitali wanasema chakula cha kichanga kitakua maziwa ya mama for six months kabla haujampa chochote. Fuatilia kama ukoo wenu watoto wana uwezo huo wa kuvumilia maziwa pekee kwa miezi 6 (kama wazazi wako upo nao karibu kimawasiliano itakusaidia) mimi mtoto alichachamaa kulia akiwa na mwezi nikaambiwa anza tu kumpa uji ndiyo mlivyo.

Pia jiandae kumsaidia kubembeleza mtoto (kama mnaishi wote) waweza rudi saa tano usiku unakuta mama mtoto kabembeleza hadi anasinzia na mtoto mikononi.

Kama unaweza kuongea naye ongea naye. Niliongea na mwanangu akiwa na siku moja, nilimuambia nilichomuambia kisha nikamuuliza "Sa nitajuaje kama umenisikia na umenielewa?" Alikua ameangalia pembeni na si unajua mtoto wa siku moja anashinda kafumba macho? Dogo aligeuka kuniangalia kisha akafumbua macho. TBF nilishtuka.

La mwisho Kama uliwahi kutaka mimba itolewe akizaliwa muombe msamaha.
 
Kuna jamaa hapo anadai utafute 2M usimsikilize.

Awepo mtu wa kumsaidia kufua, kusafisha nyumba na kupika.

Hua anahitajika kuogeshwa na kukandwa (kama mama yake yupo pengine washaliongea hili).

Atatakiwa kuhudhuria kliniki, jitahidi uwepo.

Mafuta ya nyonyo unanunua ya elfu mbili tu mi sikujua nikanunua kichupa kizima hadi leo yapo na mtoto anaongea sasa hivi.

Bima kwa mtoto ni 50,400/=

Kushonana kama hana complications ni baada ya siku 40. Ila jikaze angalau miezi 6.

Hakikisha mama mtu anakula inavyotakiwa na ananyonyesha. Wengine hua hawanyonyeshi ili ziwa lisilale. Encourage kunyonyesha.

Hospitali wanasema chakula cha kichanga kitakua maziwa ya mama for six months kabla haujampa chochote. Fuatilia kama ukoo wenu watoto wana uwezo huo wa kuvumilia maziwa pekee kwa miezi 6 (kama wazazi wako upo nao karibu kimawasiliano itakusaidia) mimi mtoto alichachamaa kulia akiwa na mwezi nikaambiwa anza tu kumpa uji ndiyo mlivyo.

Pia jiandae kumsaidia kubembeleza mtoto (kama mnaishi wote) waweza rudi saa tano usiku unakuta mama mtoto kabembeleza hadi anasinzia na mtoto mikononi.

Kama unaweza kuongea naye ongea naye. Niliongea na mwanangu akiwa na siku moja, nilimuambia nilichomuambia kisha nikamuuliza "Sa nitajuaje kama umenisikia na umenielewa?" Alikua ameangalia pembeni na si unajua mtoto wa siku moja anashinda kafumba macho? Dogo aligeuka kuniangalia kisha akafumbua macho. TBF nilishtuka.

La mwisho Kama uliwahi kutaka mimba itolewe akizaliwa muombe msamaha.
Mkuu ahsante kwa komenti hii
 
Kuna jamaa hapo anadai utafute 2M usimsikilize.

Awepo mtu wa kumsaidia kufua, kusafisha nyumba na kupika.

Hua anahitajika kuogeshwa na kukandwa (kama mama yake yupo pengine washaliongea hili).

Atatakiwa kuhudhuria kliniki, jitahidi uwepo.

Mafuta ya nyonyo unanunua ya elfu mbili tu mi sikujua nikanunua kichupa kizima hadi leo yapo na mtoto anaongea sasa hivi.

Bima kwa mtoto ni 50,400/=

Kushonana kama hana complications ni baada ya siku 40. Ila jikaze angalau miezi 6.

Hakikisha mama mtu anakula inavyotakiwa na ananyonyesha. Wengine hua hawanyonyeshi ili ziwa lisilale. Encourage kunyonyesha.

Hospitali wanasema chakula cha kichanga kitakua maziwa ya mama for six months kabla haujampa chochote. Fuatilia kama ukoo wenu watoto wana uwezo huo wa kuvumilia maziwa pekee kwa miezi 6 (kama wazazi wako upo nao karibu kimawasiliano itakusaidia) mimi mtoto alichachamaa kulia akiwa na mwezi nikaambiwa anza tu kumpa uji ndiyo mlivyo.

Pia jiandae kumsaidia kubembeleza mtoto (kama mnaishi wote) waweza rudi saa tano usiku unakuta mama mtoto kabembeleza hadi anasinzia na mtoto mikononi.

Kama unaweza kuongea naye ongea naye. Niliongea na mwanangu akiwa na siku moja, nilimuambia nilichomuambia kisha nikamuuliza "Sa nitajuaje kama umenisikia na umenielewa?" Alikua ameangalia pembeni na si unajua mtoto wa siku moja anashinda kafumba macho? Dogo aligeuka kuniangalia kisha akafumbua macho. TBF nilishtuka.

La mwisho Kama uliwahi kutaka mimba itolewe akizaliwa muombe msamaha.

Hilo la mwisho ni muhimu ombeni misamaha watoto mliotaka kuwatoa..
 
Kuna jamaa hapo anadai utafute 2M usimsikilize.

Awepo mtu wa kumsaidia kufua, kusafisha nyumba na kupika.

Hua anahitajika kuogeshwa na kukandwa (kama mama yake yupo pengine washaliongea hili).

Atatakiwa kuhudhuria kliniki, jitahidi uwepo.

Mafuta ya nyonyo unanunua ya elfu mbili tu mi sikujua nikanunua kichupa kizima hadi leo yapo na mtoto anaongea sasa hivi.

Bima kwa mtoto ni 50,400/=

Kushonana kama hana complications ni baada ya siku 40. Ila jikaze angalau miezi 6.

Hakikisha mama mtu anakula inavyotakiwa na ananyonyesha. Wengine hua hawanyonyeshi ili ziwa lisilale. Encourage kunyonyesha.

Hospitali wanasema chakula cha kichanga kitakua maziwa ya mama for six months kabla haujampa chochote. Fuatilia kama ukoo wenu watoto wana uwezo huo wa kuvumilia maziwa pekee kwa miezi 6 (kama wazazi wako upo nao karibu kimawasiliano itakusaidia) mimi mtoto alichachamaa kulia akiwa na mwezi nikaambiwa anza tu kumpa uji ndiyo mlivyo.

Pia jiandae kumsaidia kubembeleza mtoto (kama mnaishi wote) waweza rudi saa tano usiku unakuta mama mtoto kabembeleza hadi anasinzia na mtoto mikononi.

Kama unaweza kuongea naye ongea naye. Niliongea na mwanangu akiwa na siku moja, nilimuambia nilichomuambia kisha nikamuuliza "Sa nitajuaje kama umenisikia na umenielewa?" Alikua ameangalia pembeni na si unajua mtoto wa siku moja anashinda kafumba macho? Dogo aligeuka kuniangalia kisha akafumbua macho. TBF nilishtuka.

La mwisho Kama uliwahi kutaka mimba itolewe akizaliwa muombe msamaha.
Very good sina la kuongezea hapo
 
Kuna jamaa hapo anadai utafute 2M usimsikilize.

Awepo mtu wa kumsaidia kufua, kusafisha nyumba na kupika.

Hua anahitajika kuogeshwa na kukandwa (kama mama yake yupo pengine washaliongea hili).

Atatakiwa kuhudhuria kliniki, jitahidi uwepo.

Mafuta ya nyonyo unanunua ya elfu mbili tu mi sikujua nikanunua kichupa kizima hadi leo yapo na mtoto anaongea sasa hivi.

Bima kwa mtoto ni 50,400/=

Kushonana kama hana complications ni baada ya siku 40. Ila jikaze angalau miezi 6.

Hakikisha mama mtu anakula inavyotakiwa na ananyonyesha. Wengine hua hawanyonyeshi ili ziwa lisilale. Encourage kunyonyesha.

Hospitali wanasema chakula cha kichanga kitakua maziwa ya mama for six months kabla haujampa chochote. Fuatilia kama ukoo wenu watoto wana uwezo huo wa kuvumilia maziwa pekee kwa miezi 6 (kama wazazi wako upo nao karibu kimawasiliano itakusaidia) mimi mtoto alichachamaa kulia akiwa na mwezi nikaambiwa anza tu kumpa uji ndiyo mlivyo.

Pia jiandae kumsaidia kubembeleza mtoto (kama mnaishi wote) waweza rudi saa tano usiku unakuta mama mtoto kabembeleza hadi anasinzia na mtoto mikononi.

Kama unaweza kuongea naye ongea naye. Niliongea na mwanangu akiwa na siku moja, nilimuambia nilichomuambia kisha nikamuuliza "Sa nitajuaje kama umenisikia na umenielewa?" Alikua ameangalia pembeni na si unajua mtoto wa siku moja anashinda kafumba macho? Dogo aligeuka kuniangalia kisha akafumbua macho. TBF nilishtuka.

La mwisho Kama uliwahi kutaka mimba itolewe akizaliwa muombe msamaha.
Nimecheka sana huku nikisoma. Anyways umempatia mleta uzi ushauri mzuri sana wenye sense of humor na expirience ndani yake. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya yooote ya nini??
Akizaa ni amezaa achia wazazi wako au wake ni vizuri zaidi watajua cha kufanya.
Wewe endelea kusaka mapene kwa kasi.
Usiumie wala kujiuliza chochote. Kuna jamaa hapo limesema uhudhurie clinic!!!

Kufanya nini,? Wee si mzungu bana utajichora bure na utajuta.

Pale Hkn la maana ni wanawake tupu na shobo zao.kwanza utaboreka! mtoto atapima uzito . Na kuuliza km ana tatizo...

Muda huu unao tumia kukaa hapo Saka pesa bana tu ndo dawa!!

Mwanaume yako mashine ukitakiwa inoe haswa ishughulike ili uoate idadi ya kutotolesha vigaranga baaasi!!

Hayo mengine sijui unataka nini...
 
Cha msingi pesa iwepo ili iweze kuwasaidia katika mambo yote ya msingi ya kulea mzazi mtoto n.k, pia kama mlezi wa familia andalia familia yako future nzuri
 
Back
Top Bottom