Clark cian
Senior Member
- Jul 3, 2021
- 154
- 146
Wasalaam ndugu zangu,naamini mu wazima wa afya.
Leo nataka nilale nikiwa najua ni hatua gani kama mfugaji mdogo anatakiwa kuzijua pale tu anapokuwa na wazo la kuanza ufugaji Kwa mara ya kwanza.
Nahitaji mawazo yenu ndugu zangu Ili niwe Bora zaidi ya hapa nilipo
Leo nataka nilale nikiwa najua ni hatua gani kama mfugaji mdogo anatakiwa kuzijua pale tu anapokuwa na wazo la kuanza ufugaji Kwa mara ya kwanza.
Nahitaji mawazo yenu ndugu zangu Ili niwe Bora zaidi ya hapa nilipo