Ni mambo gani ya kuzingatia unapoibiwa simu?

Ni mambo gani ya kuzingatia unapoibiwa simu?

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
Tufahamishane hapa mambo ya kuzingatia pale unapoibiwa simu. Ikumbukwe hakuna mtu yeyote anayejiandaa kuibiwa. Wizi hutokea pasipo hata kujiandaa. Wengi wetu huhosi kuchanganyikiwa.

Sasa ni nini cha kufanya unapoibiwa simu? Wengine husema katoe kwanza report polisi. Wengine husema block line.
Wengine husema tulia hadi saa 24 zipite ndipo ufanye maamuzi. Kipi hasa cha kufanya?
 
Hakika dunia haiko fair....na ndiyo maana wakistaafu wanabaki wanarandaranda tu mtaani kwa kukosa marafiki
Kuna siku nilikua nimekaa nao kadhaa sehemu tunapiga story, wakawa wanabishana walimu wamewazidi😁😁

Kwamba walimu wengi sasa hivi ni wajanja kwenye kujiongeza kutafuta pesa
 
Kwa hiyo mnufaika ni afande?. ila tukiacha utani kibongobongo policcm wanakula maisha sana na hapo bado awajawaotea wafanyabiashara wa madini.
 
Back
Top Bottom