Ni mambo gani ya kuzingatia unapotafuta Kiwanja ili usinunue chenye Mgogoro?

Ni mambo gani ya kuzingatia unapotafuta Kiwanja ili usinunue chenye Mgogoro?

Juice world

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2022
Posts
1,982
Reaction score
2,706
Aisee wakuu hili jambo sio poa, kuna jamaa huku alinunua Kiwanja mwezi uliopita milioni 8 kumbe kile Kiwanja ni Cha mgogoro aisee na katika kupeleleza watu zaidi ya wa 3 wameshauziwa jamaa akaanguka kapelekwa Muhimbili leo kapoteza maisha.

Hivi wadau kumbe utapeli wa viwanja bado upo ni hatari sana, tupeane uzoefu jinsi ya kujinasua Ili usitapeliwe ardhi.
 
Back
Top Bottom