Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Aisee wakuu hili jambo sio poa, kuna jamaa huku alinunua Kiwanja mwezi uliopita milioni 8 kumbe kile Kiwanja ni Cha mgogoro aisee na katika kupeleleza watu zaidi ya wa 3 wameshauziwa jamaa akaanguka kapelekwa Muhimbili leo kapoteza maisha.
Hivi wadau kumbe utapeli wa viwanja bado upo ni hatari sana, tupeane uzoefu jinsi ya kujinasua Ili usitapeliwe ardhi.
Hivi wadau kumbe utapeli wa viwanja bado upo ni hatari sana, tupeane uzoefu jinsi ya kujinasua Ili usitapeliwe ardhi.