Ni mambo gani ya kuzingatia unapotafuta Kiwanja ili usinunue chenye Mgogoro?

Juice world

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2022
Posts
1,982
Reaction score
2,706
Aisee wakuu hili jambo sio poa, kuna jamaa huku alinunua Kiwanja mwezi uliopita milioni 8 kumbe kile Kiwanja ni Cha mgogoro aisee na katika kupeleleza watu zaidi ya wa 3 wameshauziwa jamaa akaanguka kapelekwa Muhimbili leo kapoteza maisha.

Hivi wadau kumbe utapeli wa viwanja bado upo ni hatari sana, tupeane uzoefu jinsi ya kujinasua Ili usitapeliwe ardhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…