Ni maswali tu yanayooonyesha kifo cha ukawa kipo karibu

Ni maswali tu yanayooonyesha kifo cha ukawa kipo karibu

Maramla

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
588
Reaction score
648
1--UKAWA ni nini...chama cha siasa au ni umoja wa vyama vya siasa usiotambulika kama chama cha siasa

2--Je kwa dalili tunazoziona UKAWA watasimamisha mgomea mmoja wa nafasi ya urais miongoni mwa umoja huo

3---Iwapo kwa mfano UKAWA wakamsimamisha mgombea kwa mfano toka CHADEMA na akashinda nafasi hiyo, je nafasi za uongozi wa juu wa nchi mfano waziri mkuu na makamu wa rais watatoka chama gani...obviously lazma iwe CHADEMA kwani ndio chama tawala kwa wakati huo according to katiba tunayoitumia kwa sasa

4---Je vipi kuhusu baraza la mawaziri ambalo pia linahitaji kuwa na mawaziri wanaotoka chama tawala yaani kilichopo madarakani kwa muda huo...ina maana hapa CHADEMA ndio watatoa mawaziri according to katiba tunayoitumia kwa sasa...

5---nini itakuwa hatma ya vyama vingine vinavyounda umoja huo yaani CUF, NCCR etc ndo watakuwa wamechinjiwa baharini? Na kupotezwa kweny ramani

Tusiruhusu hawa jamaa kuja kufanya majaribio kwenye nchi....watatuharibia na kutuletea machafuko hapo baadae...hakika UKAWA ni umoja wa kundi la watu flani walafi na wenye uchu wa madaraka...

N:B na hii ni kwa chama chochote kitakachosimamisha mgombea wa urais ndani ya UKAWA the situation will be the same
HUU NDIO MWISHO WA UKAWA MWEZI OCTOBER UNAKUJA TUTASHUHUDIA HILI.....UUMOJA GANI HUU USIOKUWA NA STRATEGY.....BAADA YA KULIGUNDUA HILI NILIAMUA KUJIENGUA HUKO

KIJANA AKILI KICHWANI
 
Mkuu mbona hawa unawapaisha sana?daa unawapa matumaini ya kufikiria kuongoza nchi wakati watajifia very soon!
 
1--UKAWA ni nini...chama cha siasa au ni umoja wa vyama vya siasa usiotambulika kama chama cha siasa

2--Je kwa dalili tunazoziona UKAWA watasimamisha mgomea mmoja wa nafasi ya urais miongoni mwa umoja huo

3---Iwapo kwa mfano UKAWA wakamsimamisha mgombea kwa mfano toka CHADEMA na akashinda nafasi hiyo, je nafasi za uongozi wa juu wa nchi mfano waziri mkuu na makamu wa rais watatoka chama gani...obviously lazma iwe CHADEMA kwani ndio chama tawala kwa wakati huo according to katiba tunayoitumia kwa sasa

4---Je vipi kuhusu baraza la mawaziri ambalo pia linahitaji kuwa na mawaziri wanaotoka chama tawala yaani kilichopo madarakani kwa muda huo...ina maana hapa CHADEMA ndio watatoa mawaziri according to katiba tunayoitumia kwa sasa...

5---nini itakuwa hatma ya vyama vingine vinavyounda umoja huo yaani CUF, NCCR etc ndo watakuwa wamechinjiwa baharini? Na kupotezwa kweny ramani

Tusiruhusu hawa jamaa kuja kufanya majaribio kwenye nchi....watatuharibia na kutuletea machafuko hapo baadae...hakika UKAWA ni umoja wa kundi la watu flani walafi na wenye uchu wa madaraka...

N:B na hii ni kwa chama chochote kitakachosimamisha mgombea wa urais ndani ya UKAWA the situation will be the same
HUU NDIO MWISHO WA UKAWA MWEZI OCTOBER UNAKUJA TUTASHUHUDIA HILI.....UUMOJA GANI HUU USIOKUWA NA STRATEGY.....BAADA YA KULIGUNDUA HILI NILIAMUA KUJIENGUA HUKO

KIJANA AKILI KICHWANI

Mihemuko siku zote huanza kwa mbwembwe ila mwisho wake huwa kimya kimya. Dalili zao hizoooooo, mara huyu mara yule. Hiyo ni mihemuko ya mdomo tu na siyo ya moyoni. Tamaa mbele mwanguko puuuuuu!
 
Back
Top Bottom