W whiteman Member Joined May 10, 2014 Posts 6 Reaction score 0 Jun 9, 2014 #1 Naombeni msaada wenu wa hali na mali maana mchumba wangu anapatwa na mabadiliko ya mara kwa mara kama kutapika nakadhalika. Mimba yake ni ya kwanza jamani naombeni mnifungue macho.
Naombeni msaada wenu wa hali na mali maana mchumba wangu anapatwa na mabadiliko ya mara kwa mara kama kutapika nakadhalika. Mimba yake ni ya kwanza jamani naombeni mnifungue macho.