Ni matatizo yapi ya mimba changa?

whiteman

Member
Joined
May 10, 2014
Posts
6
Reaction score
0
Naombeni msaada wenu wa hali na mali maana mchumba wangu anapatwa na mabadiliko ya mara kwa mara kama kutapika nakadhalika.

Mimba yake ni ya kwanza jamani naombeni mnifungue macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…