Principle girl
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 1,311
- 1,297
Naombeni mnijuze mazoezi ambayo nikiyafanya yatanisaidia ili miguu yangu iongeze ujazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hatakuwa na kigimbi...nashukuru Mungu nina guu la bia...simama wima, cross miguu yako yani X, then shika kiuno unafanya kama unachuchumaa na kurudi juu, mara kadhaa, utatumia vidole tu kwenda chini na kurudi juu, sio unyayo wote
tehe tehe tehe sidhani wanaofanya naona wanapata matokeo mazuriMkuu hatakuwa na kigimbi...nashukuru Mungu nina guu la bia...
tehe tehe teheifunge kwa kamba iliyokaza sana kwa chini kama kikuku. Kisha kaa siku tatu bila kufungua.
simama wima, cross miguu yako yani X, then shika kiuno unafanya kama unachuchumaa na kurudi juu, mara kadhaa, utatumia vidole tu kwenda chini na kurudi juu, sio unyayo wote
hamnaHapo atatoka vigimbi tu
Duu we jamaa utaua aseehifunge kwa kamba iliyokaza sana kwa chini kama kikuku. Kisha kaa siku tatu bila kufungua.
Yap akienda Gym yule trainer atamuelekeza vizurikuna haya![]()
NOT FOR SALE: FOR PROMOTIONAL USE ONLY.Duh, kweli Dunia haiko fair, mm natafuta namna ya kupunguza wewe wataka kuongea
Duh, sijaelewaNOT FOR SALE: FOR PROMOTIONAL USE ONLY.
Maanake natamani nione miguu yako!Duh, sijaelewa
ifunge kwa kamba iliyokaza sana kwa chini kama kikuku. Kisha kaa siku tatu bila kufungua.
Mamiguu manene halafu mapaja membamba na kifua kinene unaweza kuitwa katuni
HahahahaMaanake natamani nione miguu yako!