Ni mchezo gani wa self defence ambazo zinafaa Kwa watu wazima?

mbona kuna watu wana zaidi ya miaka 30.
Lakini bado hawajakomaa kiakili?
Dah...usichanganye...mtu mzima Ni yule aliyekomaa kiakili na anayeyajua majukumu yake....uzee ni hali ya muonekano wa mtu....umri hauhusiki [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Beretta ARX 160

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akikukamata inakua mada nyingine tena[emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko nawaza jins ya kuhuni ka chombo kadogo ka kubebea petrol, halafu uwe na kiberit Cha gesi, hako ka chombo kawe kadogo halaf kanabonyea bonyea ukikabonyeza ili kimiminika kilichomo ndani kitoke kwa kuruka Kama manyunyu.

Kwaiyo inapotokea ukabanwa na kibaka unazama mfuko wa kushoto unakachomoa unakabonyeza petrol inamrukia halaf mkono wa kulia unawasha kiberiti unamchoma.


Wazo langu ndo hilo wakuu

Lakini punde, akakwingilia Jack Chan shashaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…