ni mda gani unaofaa kukaa na mpenzi wako kabla hamjaoana?

kashemeire

New Member
Joined
Jun 27, 2011
Posts
4
Reaction score
1
naomba kupata ushauri hasa kwa walioana,,, je nni mda gani muafaka unaweza kukaa na mpenzi wako kabla ya kuoaana? mf miaka 2? 5? miezi6? au? naomba ushauri,,,
 
Muda wowote mnaoona unawafaa/watosha!!
 
naomba kupata ushauri hasa kwa walioana,,, je nni mda gani muafaka unaweza kukaa na mpenzi wako kabla ya kuoaana? mf miaka 2? 5? miezi6? au? naomba ushauri,,,

Mapenzi yenu tu hakuna muda maalum wa kukaa kabla ya kuoana. Kama mmezimikiana na hakuna lalam zozote na kila mtu anaridhika kuwa na mwenzie mpaka ``kifo kiwatenganishe`` basi ni pumzi yenu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…