Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Yaweza kuwa ni kwa matokeo ya kushangaza au ya kawaida tuu, Yaweza kuwa ni burudani ya pasi na udambwi dambwi wowote ule.
Mechi zangu mimi ni hizi.
1.Germany 7-1 Brazil kwenye World Cup.
2.Man Utd 2-0 Arsenal. Hii mechi inajulikana kama Battle of the Buffet, ulikuwa mwisho wa Unbeaten record ya Arsenal. Mechi ilijaa undava wa kila aina.
3.England vs Greece. Kufuzu World Cup 2002, ambapo Waingereza walipata bao la jioni kabsa toka kwa freekick ya Beckham na hivyo kufuzu.
4.Barcelona 3-1 Man Utd. Hii ilikuwa fainal ya Champions League ambapo Barca walikuwa ktk ubora wao hali iliyomfanya Ferguson kutetemrka kwa nyakati fulani.
5.Taifa Stars 0 -1 Msumbiji. Kufuzu mataifa huru mwaka 2008.Nani amemsahau Tiko Tiko?
Kwa upande wako ni mechi zipi hutozisahau??
Mechi zangu mimi ni hizi.
1.Germany 7-1 Brazil kwenye World Cup.
2.Man Utd 2-0 Arsenal. Hii mechi inajulikana kama Battle of the Buffet, ulikuwa mwisho wa Unbeaten record ya Arsenal. Mechi ilijaa undava wa kila aina.
3.England vs Greece. Kufuzu World Cup 2002, ambapo Waingereza walipata bao la jioni kabsa toka kwa freekick ya Beckham na hivyo kufuzu.
4.Barcelona 3-1 Man Utd. Hii ilikuwa fainal ya Champions League ambapo Barca walikuwa ktk ubora wao hali iliyomfanya Ferguson kutetemrka kwa nyakati fulani.
5.Taifa Stars 0 -1 Msumbiji. Kufuzu mataifa huru mwaka 2008.Nani amemsahau Tiko Tiko?
Kwa upande wako ni mechi zipi hutozisahau??