Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,633
Nimeangalia tena rekodi zangu, Italy alifungwa kwa matuta, aliyekosa penati ni Roberto Donadoni ambaye baadae alikuja kuwa kocha wa Italy kwenye Euro 2008
'09 Fifa Confederations Cup final.
United States vs Brazil. Hiyo comeback ya Brazil, whoo!!
hahaha! we kweli kilaza, chelsea alicheza na bayern munich, bayer ni bayer leverkusenAlicheza na nani? Kama huna kumbukumbu kaa kimya
mkuu hukuandika bayern uliandika bayer ambayo ni bayer leverkusen, jitahidi kutofautisha hizi timu mbili mkuuKama akucheza na bayern hlo kombe 1 la uefa analo limiliki alilichukua kwa nani fainal..??
Kama akucheza na bayern hlo kombe 1 la uefa analo limiliki alilichukua kwa nani fainal..??
msiwe mnabishabisha tu kama hamjui kitu nyambafuAlicheza na nani? Kama huna kumbukumbu kaa kimya
msiwe mnabishabisha tu kama hamjui kitu nyambafu
2005 UEFA champions league final. Liverpool vs AC Milan