Unaweza kmjua mwenye sura ya kufa hapo ,yaani hebu angalia hizo picha za juu kabisa kwa ghafla ,basi macho yako yatakupeleka kwa mgombea ambae ana sura ya kufa ,mi kila nikitazama kwa gafla naona kuna mgombea ana sura ya kufa na face yake katika picha hiyo nikama ya kusituka au iliyofikwa na jambo.sisemi kama nina uhakika wa kufa mtu kwani siamini mambo ya akina shee Yaaya ,ila wakati mwingine unakuwa unajipima kama nawe unaweza kubashiri na hapo nimejaribu kuangalia hizo picha kwa gafla kuna jamaa namuona kama ni yeye.:thinking:
Biashara ya kuroga watu kwa kutumia majini na vibwengo ni kunadi biashara ya huyo mchawi wa mchana - Yahaya. Hafai kabisa na ashindwe kabisa!! Watanganyika hatuna wasi wasi maana huo ni uzushi wa mchana. Mbona yeye hajajitabiria afe. Alipougua alisema kunawatu wanasali ili afe! Muoga wa kufa yeye alafu analoga wengine. Kuna ulinzi wa damu ya Yesu Kristo Tanzania hii. Anaua watu anasingizia utabiri kutimia. shame on him.
Kama kampeni zitahitimishwa uwanja wa jangwani kama ilivyo desturi, utabiri wa shekhe yahaya utamuangukia mzoefu wa kuanguka, na safari hii akianguka ni moja kwamoja hainuki tena[/QU
ahahahaaaaahekeshaaaaaaaaaa, hii imenichekesha sana
Ni siri yako ,ila yupo na naamini kabisa umemwona lakini binadamu tunakuwa waoga lkusema ukweli yaani panakuwa pazito lakini kama wewe umemwona ni Lipumba sawa ,ila siamini kama umemwona ni yeye ,usingeliuliza kwa kuweka alama ya kuuliza ?Unamaanisha Lipumba?!