Ni mguso upi unabaki katika roho yako pale utakapopata usaidizi wa kiganga katika masuala mbalimbali ya maisha haswa utafutaji?

Ni mguso upi unabaki katika roho yako pale utakapopata usaidizi wa kiganga katika masuala mbalimbali ya maisha haswa utafutaji?

Financial Analyst

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2017
Posts
1,849
Reaction score
3,506
Karibuni masterminds.

Ni yapi hawezi kukuambia?
Ni yapi yatabaki nyuma ya pazia?
Ni maagano yapi ulio fungumana nayo bila wewe kujua?
Nini inakuww Hatma ya mfumo mzima wa roho na nafsi yako?
 
Ile madhabau ya kiganga iliyokupa msaada inakuwa mlango wa mambo ya ulimwengu wa giza kuingia kwako...
Kwa kiswahili fasaha mganga anakuwa na rimonti ya kukukontroli bila weewe kujua, nisawa umpe mtu hati ya gari au shamba.

Na ikitokea kuna mtu anataka kukudhuru mganga yeye anakuwa kama dalali, mfano mteja akaja kwa mganga anayetaka kufanikiwa kwenye siasa alafu wewe unakibali mbele za watu mganga anachukua kibali chako anamwamishia yule mteja anaetaka kuwa mwanasiasa huku wewe unadorora.
 
Ile madhabau ya kiganga iliyokupa msaada inakuwa mlango wa mambo ya ulimwengu wa giza kuingia kwako...
Kwa kiswahili fasaha mganga anakuwa na rimonti ya kukukontroli bila weewe kujua, nisawa umpe mtu hati ya gari au shamba.

Na ikitokea kuna mtu anataka kukudhuru mganga yeye anakuwa kama dalali, mfano mteja akaja kwa mganga anayeka kufanikiwa kwenye siasa alafu wewe unakibali mbele za watu mganga anachukua kibali chako anamwamishia yule mteja anaetaka kuwa mwanasiasa huku wewe unadorora.
Ni namna gani unaweza kujinasua hapa?
 
Ni namna gani unaweza kujinasua hapa?
uliopo mfata mganga ni kwasababu ulikua dhaifu na unataka msaada, na sasa hvi pia unaitajika kumpata mtu mwenye nguvu akusaidie, mimi ni mkriso nakushauri tafta mchungaji uombewe utakaa sawa, mambo ya kiroho ni mambo yanaitaji nguvu..
 
Back
Top Bottom