Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Jioni moja ya mwaka 1977 katika uwanja wa Taifa ( sasa Uhuru ) Simba SC ilifanya mauaji ya Shurabela, kwa kuwakandamiza Yanga goli 6-0 huku Abdalllah Kibadeni Mputa akitupia Hat trick katika mchezo huo.
Sasa ni takribani miaka 40 kamili tangu maajabu yale yatokee jioni ile ya mwaka 1977 pale Uhuru Stadium.Ni umri wa mtu mzima kabisa.
Je wadau ni nini kimesababisha wachezaji wengi wa vilabu vya Simba na Yanga kushindwa kuvunja rekodi hii adhimu licha ya Vilabu hivi kujaaliwa washambuliaji matata kwa vipindi tofauti kama Lunyamila, Zamoyoni Mogella, Madaraka Suleiman, Okwi, Tambwe na wengineo wote ambao wameshindwa kuvunja rekodi hii.
Je ni imesababisha rekodi hii iendelee kudumu huku wachezaji wakishindwa kuivunja?
Sasa ni takribani miaka 40 kamili tangu maajabu yale yatokee jioni ile ya mwaka 1977 pale Uhuru Stadium.Ni umri wa mtu mzima kabisa.
Je wadau ni nini kimesababisha wachezaji wengi wa vilabu vya Simba na Yanga kushindwa kuvunja rekodi hii adhimu licha ya Vilabu hivi kujaaliwa washambuliaji matata kwa vipindi tofauti kama Lunyamila, Zamoyoni Mogella, Madaraka Suleiman, Okwi, Tambwe na wengineo wote ambao wameshindwa kuvunja rekodi hii.
Je ni imesababisha rekodi hii iendelee kudumu huku wachezaji wakishindwa kuivunja?