Ni mimi kilaza au Tanroads: Sioni umuhimu wa taa za kuongoza magari Sam Nujoma vs Simu 2000 (Mawasiliano)

Mbinile

Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
46
Reaction score
106
Habari wana Jamvi,

Sioni umuhimu wa Taa za kuongoza magari makutano ya Samnujoma/SIMU 2000 (Mawasiliano) wakati zinaruhusu magari yanayotoka Mwenge na Mawasiliano kwa pamoja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…