Ni mji gani kati ya Dsm, Morogoro, dodoma na Mwanza?

impelle

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2017
Posts
832
Reaction score
1,107
Wanajukwaa Salaam,
Imani yangu tunaendelea vizur.
Nina mpango wa kuanzisha biashara ya kuuza bidhaa mbalimbali za wanawake.
Kitu kimoja kinanisumbua kichwa, niiweke hii biashara yangu sehemu gani kati ya miji hii niliyoipendekeza yaani Dsm,Morogoro, Dodoma na Mwanza.
Ninaamini mtaweza kunisaidia kuja na wazo zuri la mahali pa kusimika biashara.
Natanguliza shukran.
Karibuni.
 
Njoo Mo town!

Ukiweka goli sabasaba itapendeza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…