DOKEZO Ni mkandarasi gani anajenga barabara ya Kimara - Bonyokwa - Segerea?

DOKEZO Ni mkandarasi gani anajenga barabara ya Kimara - Bonyokwa - Segerea?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Rufiji dam

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2020
Posts
4,107
Reaction score
9,671
Hii nchi imekuwa ya kuchumwa na kunyonywa na wajanja na wengi tumebaki wajinga na kutazama.

Huyu Mkandarasi anayejenga hii barabara ni mwehu wa kutupwa sijui ni barabara ambayo ipo chini ya ya TANROADS ama ni nani. Kila mara hii barabara inachongwa na kuleta tope na kero kubwa.

Hii ni barabara ya kupunguza msongamano lakini inasemekana kuna wajanja walikula pesa ya ujenzi wa kiwango cha lami. Ujinga wa kujaza tope mfano huyu Mkandarasi mwehu kajaza udongo wenye tope kwenye killima cha kuelekea Kinyerezi kupitia daraja la chuma.

Wananchi mnapaswa kujua haki zenu haiwezekani tunachezewa na hawa wehu. Huyu mkandarasi kafanya ujinga hapa kwenye kilima cha mchezaji Danny Mrwanda lami imeshakwisha na barabara inaleta usumbufu sana kupanda. Serikali ingilieni kati hii kadhia.
 
Billion 600 imetumika kujenga daraja la Tanzanite. Na Billion zingine za kutosha zimetumika kujenga chato international airport ambapo sasa hivi magugu yanaota tu kwenye runway
 
Hiyo sio ya TARURA?
Sijui kwa kweli ila ni kero sana hii barabara sijui Wabunge na madiwani hawaoni? Kutoka Kimara mwisho kupitia Vinane mpaka Bonyokwa kwenda Kinyerezi ni upuuzi mtupu kazi kuleta katapila na kutifua tu.
 
Barabara wamelima Kama Matuta ya Viazi

Ila naona ni sehemu ya mtu kujilia pesa sake , kila baada ya miezi anajibebea zake greda analima

Anasubiri miezi mingine akalime

Kama wameshindwa Bora waiache hivyo hivyo, wanakula pesa Za greda per day huku wanatesa wananchi [emoji706]
 
Back
Top Bottom