Ni mkataba ipi ya kuuza na kununua magari?

joss1973

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2010
Posts
405
Reaction score
102
Habari wana Jf ? Poleni na shukri za kila siku , thamahani waheshimiwa naomba msaada wa kujulishwa njinsi ya kuandika mikataba ya kuuza na kununu magari , kwa ufupi mimi najishughulisha na uhuzaji na ununuzi wa magari , tatizo langu bado sijafahamu zaidi njinsi ya kufanya mikataba halali ya kuuza na kununua magari ili nisije nikapata matatizo ya kuuziwa magari ya wizi au magari yenye matatizo ya kisheria , kwa mfano magari ya kitaperi , ni vigezo vipi vya kuangaria ili kujuwa uhalali wa gari ? na kutambua gari lisilo na matatizo?au ni mikataba hipi ya kufanya ili kuwa salama kisheria wakati ninapopata tatizo la kununua gari lilo na matatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…