aBuwash
JF-Expert Member
- Dec 26, 2023
- 262
- 497
Habariinii
Swalii kama linavyojieleza wadau ni mkoa gani naweza kwenda kununua mchelee wa bei za chini na ukawa fresh bila kuwa na chenga nyingii. Yanii unaweza tu kununua ukaupaka mafuta na kuupeleka.
Nachukuwa mchele morogoro aisee nimeshachoka mchele wenyewe faida ndogo afu pia ukiugrediii unaupunguza tena kilo yanii faidaa ndo inazidiii kuwa ndogo kabisa yaniii huu upumbavu wa kugredii gredii nishauchoka sasa dah
Mwenye ujuziii anipe formula jamanii kama kuna njia unaweza fanya mchele ukaenda kuuza bila kugredii na ukawa fresh au kama kuna mkoa inatoa mchele mzurii ambao haukatikii mashinenii msaada wenu wakulungwaaa
Swalii kama linavyojieleza wadau ni mkoa gani naweza kwenda kununua mchelee wa bei za chini na ukawa fresh bila kuwa na chenga nyingii. Yanii unaweza tu kununua ukaupaka mafuta na kuupeleka.
Nachukuwa mchele morogoro aisee nimeshachoka mchele wenyewe faida ndogo afu pia ukiugrediii unaupunguza tena kilo yanii faidaa ndo inazidiii kuwa ndogo kabisa yaniii huu upumbavu wa kugredii gredii nishauchoka sasa dah
Mwenye ujuziii anipe formula jamanii kama kuna njia unaweza fanya mchele ukaenda kuuza bila kugredii na ukawa fresh au kama kuna mkoa inatoa mchele mzurii ambao haukatikii mashinenii msaada wenu wakulungwaaa