Ni Mkoa gani utazidi Tanga Tanzania!


chezea Mbu...
 
Zunguka na pande nyingine za tz utapata jibu.
 

dont tell me you are back on drugs!!!!!!
 

Hahahaha....

Mkuu heshima uliyopewa hapo ni kupasua tope siyo?......

Karibu Pemba, kuna magari yanapita kwenye matope tu....Kwenye lami linapita unapolimiliki kihalali........ siyo kulikodisha,
 
Tukujuze nini sasa
Ish....!:eyeroll1:

Utaeleweje mkuu wakati hukusoma Lugha! Wala huku chambua kitabu cha Kuli na Hawala ya Fedha!
Ohooooo!:frusty:
You have so much to work on your grammar
Ish.....:crying: Grammar?


Lugha za picha hizo. Watoto kanyeni mkalale.
:welcome:

Nadhani wameshalala hao!
:amen:


Nyie watu hapo juu, turudini kwenye mada sasa.

Gari jeusi linalokatiza matopeni huko Tanga..
 
Duhh,,

Mara zote ambazo nimefika mitaa ya Ta sijawahi ona hayo magari.....Hata pale Chichi, Yatch Club n.k. Ila nasikia siku hizi kuna ukumbi mpya unaitwa Pweza maeneo ya Chuda watisha kama nini.....!! Gari hata ambazo hazijakamilika kutengenezwa ziko kwenye show room!!

Chuda pia panatisha au vipi?
 

Ukweli Tg ni # 1. Ila Jaribu na Kaskazini mwa Dodoma kuna magari aina ya Wa colour mzee,magar hayo hayana asumin, warid,mdalasini,Hiliki wala karafuu ila yana wheels za ajabu
 
Mmmh..men at work................kumbe nimepotea njia ndo kwanza saa nne lol.
 
Tanga hakuna lolote, magari ya kule mengi ni mabovu kilometa chache tu linakutaka ushuke! Ukitaka kupata gari la uhakika na la kukusafirisha kwa masafa marefu bila kuharibika au kukutaka ushuke nenda SONGEA (RUVUMA), magari ya kule ni nomaaa wajameni!!!!!!!
 

Mbu haya magari umewai kuyaendesha au unasimuliwa tu! maana umenitia hamu Mkuu, kwakweli sijawai kuwapa kuendesha gari kama hilo itabidi nikutafute Mkuu
 
Last edited by a moderator:
Mmmh..men at work................kumbe nimepotea njia ndo kwanza saa nne lol.

Carmel Hujapote hata kidogo! ebu tupe exeperience ya aina ya gari lako.
 

Mzee safari ya mwendo mrefu bila hata ya kusimama kuchimba dawa! Duh! inabidi uwe na pumzi Mkuu, na inakuwa vipi ikiwa umeweka kidhibiti mwendo na gari haliruhusu kupunguza mwendo wala kusimama sehemu? Siyo hatari hiyo Mkuu?
 
Ukweli Tg ni # 1. Ila Jaribu na Kaskazini mwa Dodoma kuna magari aina ya Wa colour mzee,magar hayo hayana asumin, warid,mdalasini,Hiliki wala karafuu ila yana wheels za ajabu

Mkuu Kaskazini mwa Dom mbona unaongelea Bara huko mkuu Tabora, Shinyanga, Mara, Mwanza kuna kitu huko mkuu kweli! au mi ndi nimekosea Geography?
 


Mkuu Tanga Magari yake nimenyosha Mkono, aisifiaye mvua kwakweli imemnyea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…