Ni Mkoa gani utazidi Tanga Tanzania!

Nasikia tabora zipo zinazotembelea 2tyres.

Mkuu Tabora ni miongoni mwa Mikoa ambayo nasikia Magari yake uwezi kuyaacha ukitia mkuu kwenye pedal ila sijawai kuyaendesha!

Story za utoto walikuwa wanatutisha juu ya magari ya huku kuwa yanashikilia dereva kiushirikina sijui kama ni kweli au Dereva mwenye analewa akiwa ndani ya gari kwa raha zake then wanasema kakamatwa ndani ya gari kiushirikina!
 
Hahahaha....

Mkuu heshima uliyopewa hapo ni kupasua tope siyo?......

Karibu Pemba, kuna magari yanapita kwenye matope tu....Kwenye lami linapita unapolimiliki kihalali........ siyo kulikodisha,

Yani ukikodi halipiti Lami? Duh basi hayo yanafaa kuja kufanya kazi huku Bara ambako bado hawajui magari yanavyopasua tope.
 
Mbu haya magari umewai kuyaendesha au unasimuliwa tu! maana umenitia hamu Mkuu, kwakweli sijawai kuwapa kuendesha gari kama hilo itabidi nikutafute Mkuu

...Ohooo, hujawahi sikia "msimulia mvua imemnyea?" ...Am joking bana. Mimi ni mlokole,
nimesimuliwa tu visa vya alfu lela u lela!

BTW, jaribu pia landrover short chassis milima ya uluguru, au kwa malori makubwa na trailer zake toka usukumani na hata kwenye viunga vya mbeya bana. Muungano na Udumu.
 

Udumu milele maana Mola kaweka kila aina ya magari katika pande zote za Muungano, Short chasiss naziogopa unaweza kupinduka haraka kwenye kona.
 
Arafat ogopa magari ya Dar ....huwa na mabody mazuri ila Engine ziko used sana unaweza kuona hummer ila mileage ni kubwa mno sababu ya kushushwa Engine na overhaul za mara kwa mara!
 
Dah! Kwanza pole kwa kudanganywa ndugu. Hiyo 4 wheel ilishatumiwa na waliokutangulia maana umesema gari imeshatumika. Halafu unai rank Tanga kuwa # 1 kisa 4 wheel? Tanga inajulikana kwa mvua nyingi na njia zake zina tope sana, so mara nyingi 4 wheel ni muhimu huko
 
Hongera zako, zanzibar na pwani zaweza kuwa nzuri kuliko Tanga
 
Arafat ogopa magari ya Dar ....huwa na mabody mazuri ila Engine ziko used sana unaweza kuona hummer ila mileage ni kubwa mno sababu ya kushushwa Engine na overhaul za mara kwa mara!

Rev unataka kusema gari likifanyiwa overhaul halifai tena!

Duh kuna magari mengine imara sana hata baada ya overhaul bado linadunda mzigo kama kawa!
 
Yani ukikodi halipiti Lami? Duh basi hayo yanafaa kuja kufanya kazi huku Bara ambako bado hawajui magari yanavyopasua tope.

Yeah....ukilikodi halitaki ulipitishe kwenye lami, ili atakayeamua kulimiliki akute tairi hazijawa kipara.....We utapitishwa topeni, tairi zinachafuka lakini hazipati kipara.
 
Magari mengine bwana matairi makuubwa ya trecta kwenye bito ya nini?
 
Yeah....ukilikodi halitaki ulipitishe kwenye lami, ili atakayeamua kulimiliki akute tairi hazijawa kipara.....We utapitishwa topeni, tairi zinachafuka lakini hazipati kipara.

Sasa mbona mnunuzi atakuwa anauziwa mbuzi ndani ya gunia!

Ila pananifaa huko nadhani kuna kila sababu ya kutembelea huko.
 
Magari mengine bwana matairi makuubwa ya trecta kwenye bito ya nini?

Gaga hupendi matairi makubwa? siyo kuwa ndiyo yanafaa hayo kupasua njia!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…